Baada ya Kutoka Sare Zidane Sasa Maji ya Shingo Madrid

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kitendo cha Real Madrid kupata sare tena ya kuitafuta kwa ‘tochi’ dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji katika Ligi ya Mabingwa Ulaya sasa ni rasmi kimemuweka pabaya Zinedine Zidane.

Real Madrid, mabingwa mara 13 wa michuano ya Ulaya walipata sare ya mabao 2-2 wakiwa nyumbani dhidi ya timu ambayo ilionekana ni ndogo kwao, kitendo ambacho kimewachukiza mashabiki wengi wa Madrid na kuamini kocha wao, Zidane sasa timu imemshinda.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad