AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Polisi waliokuwa wakifanya Doria kwenye barabara kuu ya Nairobi-Mombasa Oktoba 15, wamekamata basi la Kanisa la PEFA likiwa na Misokoto 230 ya bangi iliyokuwa imesundwa kwenye eneo la mizigo
Kulingana na ripoti ya Polisi, basi hilo lilikuwa limesafirisha waombolezaji kutoka Kilifi kwenda Homa Bay na wakati wa kurudi likapakiwa na bangi hiyo
Tayari dereva wa basi hilo pamoja na watu wengine wawili wametiwa mbaroni ili kusaidia Polisi kwenye uchunguzi wa kisa hicho
Bangi hiyo inakadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 1
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK