Basi la Kanisa Lakamatwa Likisafirisha Misokoto ya Bangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Polisi waliokuwa wakifanya Doria kwenye barabara kuu ya Nairobi-Mombasa Oktoba 15, wamekamata basi la Kanisa la PEFA likiwa na Misokoto 230 ya bangi iliyokuwa imesundwa kwenye eneo la mizigo

Kulingana na ripoti ya Polisi, basi hilo lilikuwa limesafirisha waombolezaji kutoka Kilifi kwenda Homa Bay na wakati wa kurudi likapakiwa na bangi hiyo

Tayari dereva wa basi hilo pamoja na watu wengine wawili wametiwa mbaroni ili kusaidia Polisi kwenye uchunguzi wa kisa hicho

Bangi hiyo inakadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 1  
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad