Batuli 'Nilikataa Kucheza Scene za Mahaba Katika Movie ya OPRAH ya Kanumba..Irene Uwoya Akakubali'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Batuli
Fahamu: Umaarufu wa Irene Uwoya ulilipuka Baada ya kuigiza filamu ya Oprah akiwa na Kanumba na Ray, lakini Batuli ndie alianza kufuatwa aigize uhusika ukuu wa Oprah, Batuli alikataa sababu hakuwa comfortable kucheza scenes za kimahaba ziliozoonekana Kwenye movie husika na kuzua minong'ono Kwa Wakati huo. Uwoya hakujivunga na kilichotokea ni movie hiyo kumpa jina kubwa zaidi ya mwanzo .

Hata hivyo, Batuli baadaye aliigiza Fake Smile akiwa na Kanumba ambapo nae bahati ya ustaa ilikuwa yake Kwa movie hiyo kumpa jina
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad