AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amefanikiwa kulizuia tukio lililopangwa na Mlinzi wa Benki ambaye alitaka kupora fedha zaidi ya Million 70 zilizotolewa Benki kwa ajili ya mikopo ambapo alikuwa ndani ya gari hiyo akisindikiza fedha hizo baada ya kuwasiliana na majambazi ili waweze kuvamia gari hilo na kupora fedha hizo.
DC Sabaya amesema Mlinzi huyo alizima simu baada ya kuwasiliana na Majambazi hao.
VIDEO:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK