AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Gazeti la Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu akiwa Marekani, Diana anasema amemkumbuka mno mama’ke na baadhi ya rafiki zake ambapo huko hawapo, hivyo hapawezi na anatamani mno kurejea Bongo. “Kiukweli nimemisi sana nyumbani na natamani kurudi,” alisema Diana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK