AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanahabari wa nchini Kenya, wamekasirika baada ya Mwanamuziki kutoka Tanzania, Harmonize kuwapa dakika 3 za mahojiano.
Mwanamuziki huyo aliyeachia kibao kipya kinachokwenda kwa jina la Uno anafanya ziara kwenye vituo vya redio na televisheni kwa nchi tatu za Afrika Mashariki
Mahojianao hayo yalifanyika kwa haraka licha ya kuwa yameahirishwa mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali. Mwanamuziki huyo alifika katika ukumbi wa kuzungumza na Wanahabari akiwa ameongozana na walinzi wake waliowasukuma watu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK