Harmonize na Walinzi wake waleta kasheshe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wanahabari wa nchini Kenya, wamekasirika baada ya Mwanamuziki kutoka Tanzania, Harmonize kuwapa dakika 3 za mahojiano.

Mwanamuziki huyo aliyeachia kibao kipya kinachokwenda kwa jina la Uno anafanya ziara kwenye vituo vya redio na televisheni kwa nchi tatu za Afrika Mashariki

Mahojianao hayo yalifanyika kwa haraka licha ya kuwa yameahirishwa mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali. Mwanamuziki huyo alifika katika ukumbi wa kuzungumza na Wanahabari akiwa ameongozana na walinzi wake waliowasukuma watu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad