AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jane Asimizi, Jumatano iliyopita alipinga waziwazi kupangiwa maeneo ya kazi ambayo anasema kwake ni ngumu kutengeneza fedha
Kiongozi wake Eliud Kinuthia, amesema kuwa wamelazimika kumpa likizo hiyo Asimizi ili apumzike wakati wakiendelea na uchunguzi wa suala hilo
Ameongeza kuwa wameagiza afanyiwe uchunguzi wa afya ya akili kwakuwa si kawaida kwa Askari mwenye maadili kudai anataka kupangiwa maeneo atakayojipatia fedha
Kupitia video fupi, Jane Asimizi alionekana akiwalaumu wakuu wake wa kazi kwa kutompanga kusimamia mitihani ya kitaifa inayofanyika nchini humo
Kupitia video hiyo aliongeza kuwa anapelekwa maeneo yasiyo na rushwa kwa sababu yeye ni mwenyeji wa Turkana
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK