AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RAIS John Magufuli leo Oktoba 23, 2019, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais John Magufuli akizungumza na Viongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) ambao wanahudhuria mkutano wa 58 unaofanyika nchini kwa siku tano ukiwakutanisha wajumbe kutoka nchi wanachama 49 na mashirika mbalimbali, walipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam. leo Oktoba 23, 2019
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK