Kenya yaimarisha usalama, tishio la ugaidi Al-shabab

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jeshi la Polisi katika kaunti ya Mandela, kaskazini Mashariki mwa Kenya limejipanga kwa tahadhari, baada ya kuripotiwa kuonekana kwa washukiwa 20, wa kundi la kigaidi la Al-shabab kutoka nchini Somalia katika eneo hilo.

Duru zinaeleza kuwa, magaidi hao walionekana katika maeneo ya Bale-Ilman na kutulo ijumaa iliyopita na inasadikika wamebeba vifaa mbalimbali vya milipuko.

Siku ya jumamosi maofisa 10 wa polisi nchini Kenya, walifariki baada ya gari lao kukanyaga bomu ambalo linasadikiwa kuwa lilitegwa na kundi la Al-shabab. maofisa hao walikuwa katika kambi ya Garissa.

Baada ya tukio hilo Gavana wa Garissa, Ali Korane alisema kuwa shambulio hilo ni kinyume na matakwa ya amani na ni hatari kwa usalama.

Kenya imeendelea kuwa kwenye vita na kundi la Al-shababu tangu mwka 2011 ilipotuma majeshi yake nchini Somalia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad