AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema amesema ujumbe aliouweka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda katika mtandao wa kijamii Twitter unaonyesha kuna jambo nchini.
Lema aliandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa waache uwoga kama kuna mtu anaumwa ama kiongozi waseme kwani ni Mungu pekee ndiye hawezi kuumwa.
“Sio udhaifu mtu kuumwa ni udhaifu wa fikra kufikiri kiongozi hawezi kuugua,” aliandika Lema
Makonda katika ukurasa wake wa Twitter aliandika ujumbe kuwa usimuombee mabaya adui yako kwa sababu kuna siku utamhitaji. Tafakari.
Hata hivyo , Mbunge lema alimjibu kuwa ni kweli kabisa kwani adui wa nani kapatwa na mabaya?
Ujumbe ktk ukurasa wa tweeter wa Rc Makonda,unaonyesha kuwa kuna jambo Nchini.Acheni uoga,kama kuna mtu anaumwa na ni Kiongozi semeni,kwani ni Mungu pekee ndiye hawezi kuumwa,sio udhaifu mtu kuumwa ni udhaifu wa fikra kufikiri Kiongozi hawezi kuugua.— Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) October 19, 2019
Usimwombee mabaya adui yako kwa sababu kuna siku utamhitaji. Tafakari!— Paul Makonda (@Paul_Makonda) October 18, 2019
Ni kweli kabisa,kwani adui wa nani kapatwa na mabaya ?— Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) October 19, 2019
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hata Lema..!!
ReplyDeleteSi unajua kama Gambo yupo Ngangari.
Au umepewa viza Nchini Twita?
Wapoteza Majimbo Watarajiwa. Mnahaha
ReplyDeleteHata wewe Lema..!!Rastamani Jaah pipo.
Si unajua kama Gambo yupo Ngangari.
Au umepewa viza Nchini Twita?
Hizi Sigara zisizokuwa na tredi maki
ReplyDeletezina wachanganya hawa vijana.
Inawezekana kuwa Sembe pia anafanyia Majaribio.
Angallia, chunnga gari ikipamba Moto
halafu huna bleki, What do U expect..?