Mbowe na Wenzake Wapewa Siku 14 Kuanza Kujitetea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


LEO Jumatatu, Oktoba 21, 2019, viongozi 9 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wameshindwa kuanza kutoa utetezi wao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kuomba kupewa muda wa kujiandaa.



Awali upande wa utetezi uliomba kupewa wiki 3 za kujiandaa lakini Hakimu mkazi Simba ametoa uamuzi wa kuwapa wiki mbili tu za kujiandaa kwa ajili ya utetezi wao kabla ya ushahidi kutolewa.



Hatua hii imefikiwa baada wakili wa Utetezi Peter Kibatala kuomba wateja wake wapewe wiki tatu za kujiandaa mnano October 18. Viongozi hao wanatarajiwa kuanza kujitete kwa siku tatu mfululizo, kuanzia Novemba 4, 5 na 8 mwaka huu.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad