AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kessy akiwa ameambatana na wakili wake aitwaye Fidex Peter, alijikabidhi kituo cha polisi hana, majira ya jioni na kupokelewa kwa bashasha na polisi waliokuwa wakimwinda kwa udi na uvumba huku akidai kwamba alikuwa jijini Nairobi nchini Kenya kuhudhuria mkutano.
Baada ya kumpokea, polisi walimvua mkanda, saa na vitu vingine na kutakiwa kuingia selo na kwamba jalada lake nimehamishiwa katika kituo cha polisi Usa River, Arumeru, alikofanyia tukio na leo atakabidhiwa katika kituo hicho ili taratibu zingine za kumfikisha mahakamani ziendelee
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK