Treni Yawaka Moto, 62 Wafariki Dunia...Kisa Mtungi wa Gesi Kulipuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


WATU 16 wamefariki baada ya treni ya mwendokasi kuwaka moto na wengine 13 wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea mapema leo huko Liaqatpur karibu na mji wa Rahim Yar Khan.



Waziri wa Masuala ya Usafirishaji wa reli, Sheikh Rashid Ahmad amesema moto umesababishwa na jiko la gesi lililopuka wakati abiria wakipika chai, jambo ambalo ni kinyume na sheria.





Treni hiyo ilikuwa inatokea Lahore kwenda Karachi. Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya karibu huku shughuli za uokoaji zikiendelea.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad