AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
WATU 16 wamefariki baada ya treni ya mwendokasi kuwaka moto na wengine 13 wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea mapema leo huko Liaqatpur karibu na mji wa Rahim Yar Khan.
Waziri wa Masuala ya Usafirishaji wa reli, Sheikh Rashid Ahmad amesema moto umesababishwa na jiko la gesi lililopuka wakati abiria wakipika chai, jambo ambalo ni kinyume na sheria.
Treni hiyo ilikuwa inatokea Lahore kwenda Karachi. Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya karibu huku shughuli za uokoaji zikiendelea.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK