AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe amewataka Viongozi, Makada na wanachama wa chama hicho, kutosusia uchaguzi wa serikali za mtaa kwani kufanya hivyo ni kukamilisha malengo ya wapinzani wao.
Mbowe amesema hayo leo Jumanne Oktoba 16, 2019 kwenye mkutano wake na waandishi wa habari na kuwaomba Watanzania wote wenye sifa za kupiga kura wajiandikishe kwenye daftari la orodha ya wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mtaa unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HIvyo CDM Kuna M/Kiti Au Kea Teka..?
ReplyDelete