Aliyemtishia Mwenzake Kumuua kwa Bastola Akamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Mussa Taibu amesema wamemkamata Shabani Hamis Said ambaye anadaiwa kumtishia kwa Bastola dereva wa lori Venance John maeneo ya Mabwe Pande, Oktober 30, 2019 majira saa 3 asubuhi.



Kamanda Taibu baada ya lori la mchanga alilokuwa anaendesha Venance John kukwama bila kupata msaada wa haraka, ndipo akatokea mshtakiwa Shabani Hamis Said akiwa anaendesha gari lake aina ya Subaru na kumtaka dereva huyo ampishe ili apite na akamjibu hawezi kumpisha kwa sababu amekwama katika mchanga.



Baadae wananchi wakatokea na kumpa msaada wa kumkwamua na kuondoka lakini alipofika mbele mshtakiwa alimzuia dereva huyo wa lori na kuanza kumtupia maneno kisha wakaanza kujibizana na kufikia hatua ya mshitakiwa kuamua kutoa Bastola na kutishia kumuua Venance.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad