AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kutaka Soko Kuu jipya la Dodoma kuitwa soko la Ndugai. Hatimae Spika, Job Ndugai ameibuka na kumshukuru.
Spika Ndugai ametoa shukurani hizo wakati akihitimisha Bunge la vijana 2019 lililofanyika kwa Kipindi cha wiki moja katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. ambapo amesema kuwa amefarijika pia.
“Namshukuru Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kuliita soko Kuu jipya la Dodoma (Soko la Ndugai) nimefarijika sana ,“ Alisema Ndugai.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK