Baada ya Rais Magufuli kulipa soko Kuu la Dodoma 'Soko la Ndugai', Spika atoa neno

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kutaka Soko Kuu jipya la Dodoma kuitwa soko la Ndugai. Hatimae Spika, Job Ndugai ameibuka na kumshukuru.



Spika Ndugai ametoa shukurani hizo wakati akihitimisha Bunge la vijana 2019 lililofanyika kwa  Kipindi cha wiki moja katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. ambapo amesema kuwa amefarijika pia.

“Namshukuru Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kuliita soko Kuu jipya la Dodoma (Soko la Ndugai) nimefarijika sana ,“ Alisema Ndugai.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad