AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
IAAF imesema imefanya utafiti juu ya umaarufu wa vipengele hivyo na kuamua kupunguza urefu wa kutangaza michuano kwa dakika 90.
Hata hivyo IAAF imesema inaelewa masikitiko ya wanariadha baada ya maamuzi ya kuondoa vipengele hivyo katika mashindano ya mwaka 2020.
Shirikisho hilo limesema kwenye taarifa yake kuwa vipengele hivyo vitashirikishwa kwenye mashindano maalumu yaliyochaguliwa yakiwemo ya Oslo, Rome, na Doha lakini vitaondolewa kwenye michezo inayotangzwa kwa dakika 90.
Mwanariadha wa Kenya anayeshika rikodi ya dunia kwa upande wa wanawake Beatrice Chepkoech amesema ameshtushwa na maamuzi hayo, na kusema huo ndio mwanzo wa kuua ajira za wanariadha wanaoshiriki kwenye michezo hiyo tu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK