AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara , Yanga SC kesho wanashuka kwenye dimba la Nangwanda Sijaona Mtwara kuvaana na Ndanda SC huku wakikosa huduma za wachezaji wao wanane kutokana na sababu tofauti.
Wachezaji hao ni Feisal Salum, Abdulaziz Makame, Lamine Moro, Juma Balinya, Ali Ali, Maybin Kalengo, Paul Godfrey na Cleofas Sospeter.
Kwa mujibu wa meneja ambaye pia ni mratibu wa timu hiyo Dismas Ten, Feisal Salum amepewa ruhusa maalum ya kwenda kumuuguza mzazi wake, na wengine saba wanakosekana kutokana na kuwa majeruhi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK