Jaden amenitamanisha mtoto mwingine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


ULISHAWAHI kusikia mtu anaambiwa ni ‘sitaki nataka’. Basi ni kama muigizaji Chuchu Hans ambaye ni mzazi mwenzake na muigizaji maarufu wa kiume Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ambaye kipindi cha nyuma kidogo alisema hataki kuzaa tena baada ya kujifungua mtoto wake wa tatu Jayden aliyezaa na Ray, lakini sasa hivi anasema anatamani kuzaa tena.

Akizungumza na Za Motomoto News, Chuchu alisema mtoto wake Jayden anamfanya atamani kuzaa tena kwani ana uelewa mkubwa na anapendwa na kila mtu licha ya kuwa alisema hana mpango wa kuzaa tena na Ray.

“Najua kabisa zamani nilishasema sitaki kuzaa tena na Ray kwa sababu ya mambo ya hapa na pale lakini ukweli ni kwamba sasa hivi natamani na Jayden ndiye kanifanya nitamani, inabidi nikae kikao na baba yake,” alisema Chuchu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad