AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuua watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi sugu akiwemo aliyefahamika kwa jina la Kambare ambaye alikuwa akitafutwa kwa muda mrefu na jeshi hilo.
Hayo yamesemwa leo Jumatano, Novemba 6, 2019 na kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mkutano wa SADC unaotarajiwa kuanza keshokutwa, Novemba 8, katika Ukumbi wa Kimatataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK