Jibu la Martin Kadinda kuwa kwenye mahusiano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kupitia EATV & EA Radio Digital imempata mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Martin Kadinda, ambaye amesema huenda starehe yake ikawa ni watu kumuuliza mara kwa mara kuhusu suala la kuficha mahusiano yake.


Martin Kadinda amejibu hivyo mara baada ya kuulizwa kuhusu kuwapa mshangao watu kwanini anaficha mahusiano yake ambapo amesema,

"Nadhani ni mahusiano yangu siyo ya jamii, kila mtu anamuua jinsi gani anavyotaka kuendesha maisha yake, Mimi nimeamua kuwa nje ya vyombo vya habari kuhusu suala la mahusiano, wanaouliza waache waulize huenda ndiyo ikawa starehe yangu kuona naulizwa mara kwa mara hilo swali" ameeleza.

"Unajua mimi ni baba wa mtoto, unategemea kuna mwanaume ambaye anaweza akaishi bila mpenzi, labda ni mapadri ila siamini wanapeleka wapi vile vitu vinavyosumbua mwilini" ameongeza.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad