Jux aeleza alivyotajwa kwenye sakata la Ruby

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkali wa RnB Juma Jux, amesema hana uhusiano wowote wa kimapenzi na Ruby, japokuwa jina lake limetajwa na mzazi mwenza wa msanii huyo aitwaye Kusah

Akizungumza na  EATV & EA Radio Digital, Jux amesema hakuna chochote kinachoendelea kati yake na Ruby zaidi ya kazi na ameshangaa kuhusishwa kuwa naye kwenye mahusiano.

"Hamna kitu chochote kama hicho, nadhani hivyo vitu Ruby mwenyewe aliongea na alieleza hakuna mazoea yoyote zaidi ya kazi, wala mazoea ya karibu sijajua kwanini imetokea hivyo au sababu gani watu wanasema hivyo, hata mimi nilikuta picha zimeunganishwa kwa pamoja" ameeleza Juma Jux.

Jux ameongeza kuwa, "Mimi nina mpenzi wangu, Ruby nilikuwa najua ana mahusiano yake japo sasa hivi nasikia kuna vitu havipo sawa ila hakuna kitu, natamani hizo sababu alizozisema ni zipi ambazo ameziona kama tuna mahusiano, namuheshimu kama msanii na mtu ambaye nimefanya naye kazi na sikuwa hata na dalili zozote za kuwa naye" ameongeza.

Wiki moja iliyopita Ruby aliweka picha na maelezo katika mtandao wa Instagram, kuhusu kilichotokea kati yake na Baba wa mtoto wake, ambapo amesema mzazi mwenzake huyo amemshtumu kuwa anatoka kimapenzi n
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad