Mbowe ashindwa kujitetea Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ameshindwa kujitetea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akiomba apumzike kutokana na matatizo ya Kiafya ikiwemo kusumbuliwa na ugonjwa wa Dengue, Malaria na Shinikizo la Damu.

Mbowe na Viongozi wenzake nane wa CHADEMA wanakabiliwa na mashtaka 13, ikiwemo kula njama, kufanya mkusanyiko wenye ghasia na kuhamasisha hisia za chuki.

Wiki iliyopita Mbowe aliripotiwa kuugua na kulazwa katika Hospitali ya Aga Khan na leo November 26,2019 amefika Mahakamani hapo lakini kupitia Wakili wake Peter Kibatala ameeleza kuwa hali yake kiafya bado si nzuri na anahitaji kupumzika.

Hakimu Simba amesema kuwa afya ya Mshitakiwa ni jambo la msingi hivyo ameahirisha kesi hiyo kwa siku mbili ambapo itaendelea November 28, 29 na Desemba 2, 3 na 4, mwaka huu kwa ajili ya kusikilizwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad