Mume wa Zamaradi Afikishwa Kortini kwa Kutishia Kuua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUME wa Mtangazaji, Zamaradi Mketema, Shabani Hamisi leo Jumatatu, Novemba 4, 2019, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni akikabiliwa na kosa la kumtishia kumuua kwa kutumia bastola, Dereva wa lori la mchanga Venance John.



Shaban amefikishwa mahakamani hapo akitokea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kesi yake kushindwa kusajiliwa mahakamani hapo.



Mshtakiwa huyo amesomewa mashtaka yake na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mkunde Mshanga mbele ya Hakimu Mfawidhi, Frank Moshi, ambapo inadaiwa tukio hilo amelitenda Oktoba 30, mwaka huu maeneo ya Mbezi Mabwepande.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad