Mwalimu mbaroni kwa kumbaka mwanafunzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwanga, iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zakaria Richard amekamatwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kumbaka na kumlawiti mwanafunzi mwenye miaka 10, anayesoma darasa la tano katika Shule hiyo


Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Kigoma, Kamanda wa Polisi Kigoma ACP. Martin Otieno, amesema Mwalimu huyo alikabidhiwa mtoto kwa ajili ya kumfundisha tuisheni ndipo akawa anatumia fursa hiyo kumfanyia ukatili.

"Tunamshikilia huyo mwalimu kwa kumfanyia vitendio vya kikatili, kwa sababu mwanzoni alikabidhiwa na wazazi wake lkini yeye akaenda mbali zaidi, na kumbaka na kumlawiti" amesema Kamanda Ottieno

Aidha RPC Otieno amewataka Wazazi kuwa na utaratibu wa kuwakagua Watoto na kuwapa nafasi ya kuwasikiliza pindi wanapokuwa na matatizo yao.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad