AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahodha wa Simba John Bocco leo ameondoka nchini kwenda Afrika Kusini kufanyiwa uchunguzi zaidi wa jeraha la misuli linalomsumbua na kumuweka nje ya dimba tangu mwanzoni mwa msimu huu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na klabu hiyo, Bocco amefika salama na tayari ameanza kupatiwa huduma kwenye Hospitali ya Netcare Rosebank iliyoko jijini Johannesburg.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK