Nahodha wa Simba John Bocco aenda kutibiwa Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nahodha wa Simba John Bocco leo ameondoka nchini kwenda Afrika Kusini kufanyiwa uchunguzi zaidi wa jeraha la misuli linalomsumbua na kumuweka nje ya dimba tangu mwanzoni mwa msimu huu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na klabu hiyo, Bocco amefika salama na tayari ameanza kupatiwa huduma kwenye Hospitali ya Netcare Rosebank iliyoko jijini Johannesburg.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad