AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli amesema kuwa wamemtia moyo na kumpa nguvu zaidi ya kufanya kazi huku akiwapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya Bungeni.
"Mhe. Spika. Nakushukuru wewe na Wabunge kwa azimio la kunipongeza. Mmenitia moyo na kunipa nguvu zaidi ya kufanya kazi. Nami nawapongeza kwa kazi nzuri mnazofanya Bungeni na Majimboni kwenu. Mbarikiwe sana.Kwa niaba ya Serikali naahidi kuendelea kushirikiana na Bunge letu Tukufu," ameandika leo Rais Magufuli kwenye ukurasa wake wa Twitter.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK