"Sitaki kuburuzwa, iwe tabu mjini" - Mtambalike

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Msanii wa filamu Single Mtambalike, amesema yeye sio mtu wa kiki kama walivyo wasanii wengine pia hataki kuburuzwa na wananchi kwa wanavyotaka wao kwenye kazi zake.


Akipiga stori  na EATV & EA Radio Digital, Single Mtambalike ameeleza kuwa tangu amechukua tuzo yupo kimya sio mtu wa kupiga kelele kama wasanii wanavyofanya  na hataki kuburuzwa na style zinazokuja.

"Ukisikia mtu amefanya kitu halafu anasema hivi na vile kama kuahidi vitu vinavyokuja halafu inakuwa kimya hamna kitu, lakini mimi tangu nimechukua tuzo nimekuwa hivi hivi na nimetoa filamu na tamthilia nipo hivi hivi kwa hiyo sitaki kuburuzwa na style zinazokuja hapa katikati nikazifuata halafu nikapoteza muelekeo wangu  " ameeeleza.

"Sitaki kufanya kitu na kuwaachia wananchi na sio kwamba nimechukua tuzo Nigeria iwe tabu mjini hapana" ameongeza.

Aidha Single Mtambalike amesema ili filamu ikamilike lazima izingatiwe vitu kama hadithi, "perfomance" ya watu, upigaji picha na sauti kwa ujumla hiyo ndiyo itakuwa filamu iliyotimia na zitapimwa na watazamaji.




----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad