AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) imetoa utabiri wa hali ya hewa iliyouita ni Hatarishi kwa Siku Tano ikionesha mikoa itakayoathirika zaidi ni iliyo katika Ukanda wa Pwani
TMA imetoa angalizo la mvua kubwa siku ya Novemba 06, kwa baadhi ya mikoa ya Pwani na Ukanda wa Kaskazini katika mikoa ya Pwani, Dar na Tanga pamoja na Visiwa vya Pemba na Unguja
Aidha, hakuna tahadhari iliyotolewa katika siku za Novemba 07 na Novemba 08 ingawa Novemba 09 kumetolewa angalizo la mvua kubwa katika maeneo ya mikoa ya Morogoro, Lindi, Mtwara, Pwani, Dar, Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba
Hata hivyo, Mamlaka imebainisha kuwa uwezekano wa kutokea kwa utabiri huu ni wa Wastani na Kiwango cha athari zinazoweza kutokea ni cha Wastani
Ikibainisha athari zinazoweza kutokea imesema ni pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji, ucheleweshwaji wa usafiri na kusimama kwa muda kwa baadhi ya shughuli za Kijamii na Kiuchumi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK