VIDEO: Samatta Kajibu Kuhusu Ishu ya West Ham United na Newcastle Kumtaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayekipiga katika club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta, baada ya kufunga goli katika mchezo wa UEFA Champions League kati ya Genk dhidi ya Liverpool amekuwa gumzo mtandaoni.

Samatta baada ya kufunga goli Genk ikipoteza 2-1 dhidi ya Liverpool, waandishi wakubwa wa michezo England kama Ian Dennis aliandika kuwa Samatta ameanza kuwaniwa na club za West Ham United na Newcastle United, leo baada ya kuwasili Tanzania waandishi walitaka kufahamu kuhusiana na hilo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad