Washukiwa Watatu wa Kundi la IS Wakamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Maafisa nchini Ujerumani wamewakamata watu watatu wanaodaiwa kuwa waungaji mkono wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu leo kwa tuhuma za kutayarisha shambulio kubwa dhidi ya watu ambao si Waislamu.

Waendesha mashitaka mjini Frankfurt wamesema kiasi ya polisi 170 walifanya msako katika nyumba tatu katika mji wa karibu wa Offenbach na kuwakamata watu hao, ambao tayari wanafahamika na maafisa wa usalama.

Uingiliaji kati huo umefanyika katika muda muafaka kuzuwia kitisho halisi, mkuu wa idara ya waendesha mashitaka Nadja Niesen aliwaambia waandishi habari mjini Frankfurt.

Amesema washukiwa wanaonekana walikuwa wamepanga shambulio katika ukanda wa mito ya Rhine na Main kwa nia ya kuuwa watu wengi iwezekanavyo, wa kile kinachoelezwa kuwa wasio amini.

Lakini haifahamiki bado iwapo walikwisha chagua eneo maalum la kufanyia uhalifu huo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad