AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wafuasi Sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Njombe wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Njombe kwa tuhuma za kuvunja, kuiba na kuharibu mali za chama cha mapinduzi katika kijiji cha Ibiki kilichopo kata ya Igongolo wilayani Njombe
Akitaja kwa mara kwanza kesi hiyo nambari 179 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Njombe James Mhanusi amesema watuhumiwa wote sita ambao ni Asifiwe Muhoka, Lupyana Mtimbuka , Baraka Mkula, Casimil Chongolo, Jacob Ngimbudzi na Gaston Mhiche, Novemba 20 walivunja,kuiba na kuharibu mali za chama cha mapinduzi katika ofisi iliyopo kijijini hapo kitendo ambacho ni kinyume na kifungu cha sheria no 296(a)(b) cha penal Code cha 2002.
Watuhimiwa wamerudishwa lumande mpaka pale kesi itakapo tajwa tena Disemba 4 mwaka huu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK