DC kigamboni Atangaza Vita Watoto Kukaa ‘Vibanda Umiza’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri, ameagiza watoto wote wanaokaa kwenye vibanda vya sinema nyakati za usiku na wakati wa masomo, kukamatwa na kuchukuliwa hatua kali.

Msafiri ametoa kauli hiyo leo Desemba 3, 2019, Jijini Dar es salaam, pamoja na kuwataka wananchi kuwa mstari wa mbele, katika kutoa taarifa zinazohusu matukio ya ukatili wa kijinsia.

Aidha amesisitiza kuwa jamii haina budi kutatua changamoto za migogoro ya kifamilia ili kupunguza idadi ya matukio ya ukatili pamoja na utupaji wa watoto.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amesema wamebaini uwepo wa matukio 719 ya ubakaji na matukio ya ulawiti zaidi ya 300.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad