Mke Wangu Akitoka....Mfanyakazi wa Ndani Ananikalia Mikao ya Kunitamanisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanaume kweli tunakazi aisee..yaani hivi karibuni mimi na mke wangu tumepata mfanyakazi wa ndani mpya kutoka Iringa lakini imekuwa ni majaribu kwangu mwanzo mwisho pale wife anapotoka nyumbani na mimi kubaki nyumbani, Kasichana haka kabichi kabisa kananitego kwa mikao mbali mbali ya ajabu ajabu, mara kajifanye kudeki huku kana khanga moko....sometimes napatwa na muhemko nafikiria kukatafuna ila naionea huruma ndoa yangu changa...Wife akirudi nyumbani kanakuwa kapole kanavaa vizuri kabisa utadhani kashamba......

Naombeni Ushauri Jamani Nifanyaje?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mfukuze watu mnapenda matatizo?

    ReplyDelete
  2. Ajiri houseboy badala yake

    ReplyDelete
  3. Inasound kama ni mtu anayetafuta maisha na kufanya kazi za ndani ni option inayopatikana kwake na anajaribu kutumia option hiyo kutafuta mafanikio ya kudumu ili kuganga ufukara. Labda anaamini anaweza kumwodoa mwajiri wake wa kike ili abaki kama mama. Mpe code ya mavazi. Usitazame vituko vyake. Mweleze sababu pekee ya kumleta kwenu ni ajira tu na hakuna interest nyingine. Asiposikia ajiri houseboy kama mbadala

    ReplyDelete

Top Post Ad