AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni mzuri balaa na kwa muonekano wa nje anaonekana ni binti anayejisheshimu haswa, nilipata shida sana mpaka kumpata.
Lakini cha ajabu ndo amenipa kisonono. Nimepata hasira sana, natamani kumuacha lakini roho inasita, naona kama sitopata mzuri kama yeye.
Nifanyaje sasa wakuu?
Mnanisaidiaje kwa hili?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nendeni hospitali mkapate matibabu,
ReplyDelete