Msichana Wangu Kanipa Kisonono, Nimuache au Niendelee Naye?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nina msichana wangu nimedumu naye miezi miwili sasa.

Ni mzuri balaa na kwa muonekano wa nje anaonekana ni binti anayejisheshimu haswa, nilipata shida sana mpaka kumpata.

Lakini cha ajabu ndo amenipa kisonono. Nimepata hasira sana, natamani kumuacha lakini roho inasita, naona kama sitopata mzuri kama yeye.

Nifanyaje sasa wakuu?

Mnanisaidiaje kwa hili?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad