Polisi Yawashikilia, Kuwahoji Wasaidizi wa John Mnyika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza liliwashikilia na kuwahoji wasaidiza wawili wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro amewataja walioshikiliwa, kuwekwa mahabusu na kuachiwa baada ya mahojiano kuwa ni Ofisa Habari wa Chadema na Msaidizi binafsi wa Mnyika, Abdulkarim Muro pamoja na dereva wa Katibu Mkuu huyo, Said Haidan.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari leo Desemba 30, 2019, Kamanda Muliro amesema watu hao walikamatwa kwenye nyumba moja iliyo karibu na hoteli ya Paradise eneo la Mahina jijini Mwanza baada ya Polisi kupata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu kuwepo kwa watu wanaotiliwa mashaka kuwa ni wahalifu.

Mwananchi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad