TANZIA: Mhubiri na Mwinjilisti Reinhard Bonnke Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bonnke ambaye ni raia wa Ujerumani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 akiwa amezungukwa na familia yake

Atakumbukwa kwa kuweka rekodi ya wahudhuriaji wengi katika mikutano yake ambayo aliyoifanya kwenye mataifa mbalimbali ya Afrika ikiwemo Tanzania

Inaelezwa kuwa kwa wakati wote aliofanya kazi hiyo aliwafanya watu milioni 79 kuwa Waumini wa dini ya Kikristo

Mwaka 2001 alifanya mkutano mkubwa katika viwanda vya Jangwani Jijini Dar huku mkutano wake wa Lagos, Nigeria(2000) ukiweka rekodi ya wahudhuriaji milioni 1.6
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad