AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bonnke ambaye ni raia wa Ujerumani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 akiwa amezungukwa na familia yake
Atakumbukwa kwa kuweka rekodi ya wahudhuriaji wengi katika mikutano yake ambayo aliyoifanya kwenye mataifa mbalimbali ya Afrika ikiwemo Tanzania
Inaelezwa kuwa kwa wakati wote aliofanya kazi hiyo aliwafanya watu milioni 79 kuwa Waumini wa dini ya Kikristo
Mwaka 2001 alifanya mkutano mkubwa katika viwanda vya Jangwani Jijini Dar huku mkutano wake wa Lagos, Nigeria(2000) ukiweka rekodi ya wahudhuriaji milioni 1.6
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mafundisho yake yalinisaidia sana
ReplyDelete