TABORA: Mwandishi Aokotwa Porini na Kudai Alitekwa..Polisi Wasema Huenda Alikuwa Kwenye Mambo yake Binafsi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Barnabas Mwakalukwa amesema kuwa huenda Mwandishi wa Habari, George Bahamu alikuwa kwenye mambo yake binafsi

Amefafanua kuwa, mtekaji hawezi kukuacha kinyeji tu. Akaongeza kuwa, mtu yeyote aliyetekwa hawezi kupiga simu yake mwenyewe na kutaja eneo alipo

Kamanda Mwakalukwa akaongeza kuwa, amemtuma OCD akamuangalie anaweza akawa na mambo yake ya ajabu, pengine mambo ya Wanawake
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad