AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Barnabas Mwakalukwa amesema kuwa huenda Mwandishi wa Habari, George Bahamu alikuwa kwenye mambo yake binafsi
Amefafanua kuwa, mtekaji hawezi kukuacha kinyeji tu. Akaongeza kuwa, mtu yeyote aliyetekwa hawezi kupiga simu yake mwenyewe na kutaja eneo alipo
Kamanda Mwakalukwa akaongeza kuwa, amemtuma OCD akamuangalie anaweza akawa na mambo yake ya ajabu, pengine mambo ya Wanawake
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK