Bikira za Kutengeneza Zaleta Mdahalo Mkubwa Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wanawake wa Kiislamu wengi wanakuwa katika hatari ya kuuawa inapotokea wakathibitika kuwa wameolewa bila kuwa na Bikra. Baadhi yao wamejiwekea utaratibu wa kuwafuata madaktari ili kuwarudishia Bikra zao

Inagharimu hadi Paundi 3,000 sawa na Tsh. milioni 9, kwa upasuaji ambao huchukua takriban lisaa kukamilika. Wapiganiaji Haki za Wanawake wanasema, kliniki hizo zinafaidika kutokana na uwepo wa Waislamu ambao huogopa kuonekana sio wasafi siku ya ndoa

Kuna hatari ya kuwa kama utengenezaji wa Bikra utazuiwa basi kuna hatari kubwa ya waislamu kufanya hivyo kimagendo. Kuna takriban kliniki 22 ndani ya Uingereza ambazo zinafanya upasuaji wa kuweka tabaka la ngozi ili Mwanamke kurudi kuwa Bikra
-
Katibu wa Afya Matt Hancock amesema, wanachunguza namna ya kukomesha tukio hili ovu japo Idara ya Afya imekataa shauri hilo kutokana na ugumu wa kutekeleza zuio hilo

Wasichana wanaweza kuishia kufa kama kutakuwa na zuio la kutengeneza Bikra. Dkt. Khalid Khan, aliwahi shuhudia namna upasuaji huo unavyofanyika na kusema haitakuwa sahihi kuzuia upasuaji huo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad