Global Radio Marekani: Tazama Helkopta Ilivyomuua Kobe Bryant – Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KUFUATIA kifo cha mchezaji nguli wa mpira wa kikapu duniani aliyekuwa akikipiga kwenye Ligi ya NBA Marekani, Kobe Bryant (41), ambaye amefariki dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea jana huko mji wa Calabasas, California, Global TV Online na +255 Global Radio tupo eneo la tukio, nchini Marekani kukupasha habari kila kinachoendelea.


Katika ajali hiyo, Helikopta hiyo inadaiwa kuwa ilizunguka mara kadhaa angani kisha kuwaka moto kabla ya kuanguka na kuua watu wote watano akiwemo binti wa #KobeBryant, Gianna Maria Onore ‘Gigi’ (13).

VIDEO:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad