Hii ndio idadi ya vifaa vya NIDA vilivyoibiwa Arumeru, Jeshi la Polisi limeanza upelelezi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea na upelelezi ili kuwabaini watu waliohusika na wizi wa vifaa vya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), katika ofisi za NIDA zilizopo maeneo ya Arusha DC, wilayani Arumeru.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mratibu wa Polisi, wilayani Arumeru, Kamanda Mapunda, kupitia kwa Afisa Habari wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha, Abel Stanford, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, lililotokea usiku wa kuamkia leo Januari 6, 2020.

“Ni kweli kwamba kuna uvunjifu umefanyika maeneo ya Ofisi za NIDA hapo Arusha DC, wameiba Camera 2, Desktop 1, Laptop 2, ila Mratibu wa Polisi Arumeru yuko eneo la tukio anafuatilia, baadaye tutatoa taarifa kamili” amesema Abel.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad