Huwezi Amini MTU Wangu Eti Jacqueline Mengi Ndie Mwanamke Mrembo zaidi Afrika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtandao maarufu wa ishu za mitindo na urembo wa Nigeria uitwao StyleRave umemtaja Mtanzania Jacqueline N. Mengi (41) kuwa ndiye Mwanamke Mrembo zaidi Afrika kutokea katika kipindi cha miaka 10.

Wakati Jacqueline (Miss TZ 2000) akitajwa kushika namba 1 kwenye orodha hiyo ya Warembo 30, Mrembo aliewahi kuwa 2nd runner-up Miss Tanzania 2006 Jokate Mwegelo (32)ametajwa namba 16.

Top 5 imemilikiwa na Nomzamo Mbatha wa South Africa, 4. Adut Akech wa Sudan Kusini 3. Linda Ikeji wa Nigeria. 2.Liya Kenede wa Ethiopia. 1. J.N Mengi wa Tanzania.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad