Kamanda Mwandamizi wa Jeshi la Iran Asema Mashambulizi Ndio Yanaanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kamanda mwandamizi wa jeshi la Iran amesema mashambulizi ya makombora dhidi ya maeneo ya Marekani nchini Iraq hayakulenga kuwauwa wanajeshi wa Marekani lakini yalitaka kuharibu vifaa vya kijeshi vya Marekani na ni mwanzo wa mfululizo wa mashambulizi katika eneo hilo.

Amirali Hajizadeh, mkuu wa jeshi la anga la Iran, pia amesema ulipizaji kisasi sahihi kwa Marekani kumuua jenerali maarufu wa Iran Qassem Soleimani ilikuwa ni kuyaondoa majeshi ya Marekani kutoka Mashariki ya Kati.

Pia amesema Iran ina mamia ya makombora yaliyo tayari na wakati Tehran ilifyatua makombora jana ilitumia mashambulizi ya mtandaoni kuzizuwia ndege za Marekani kuruka pamoja na mfumo wa kuendesha ndege zisizo na rubani.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad