AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kenya imekuwa ikipokea wageni wengi kutoka China.
Kenya ni moja kati ya nchi iliyo hatarini kukumbwa na virusi vya Corona kutokana na mahusiano ya kibiashara na China. Kila wiki, shirika la ndege la Kenya hupeleka ndege zake mbili kati ya jiji la Nairobi na Guangzhou.
Mamlaka za China zimewataka watu kutosafiri ndani na nje ya mji wa Wuhan, mji virusi hivi vilipoanzia kisha kusambaa katika majimbo kadhaa ya China, pia nchini Marekani, Thailand na Korea Kusini.
WHO inatazama kama mlipuko huu unaweza kuwekwa kwenye kundi la dharura ya kiafya kimataifa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK