Kenya yatoa Tahadhati Kuhusu Virusi vya Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Wizara ya afya nchini Kenya imeimarisha uangalizi katika bandari zake zote za kuingia na kufanya na kupima abiria kuona kama wana virusi vya corona, ambavyo mpaka sasa watu takribani 400 wana maambukizi na watu 9 wamepoteza maisha nchini China.

Kenya imekuwa ikipokea wageni wengi kutoka China.

Kenya ni moja kati ya nchi iliyo hatarini kukumbwa na virusi vya Corona kutokana na mahusiano ya kibiashara na China. Kila wiki, shirika la ndege la Kenya hupeleka ndege zake mbili kati ya jiji la Nairobi na Guangzhou.

Mamlaka za China zimewataka watu kutosafiri ndani na nje ya mji wa Wuhan, mji virusi hivi vilipoanzia kisha kusambaa katika majimbo kadhaa ya China, pia nchini Marekani, Thailand na Korea Kusini.

WHO inatazama kama mlipuko huu unaweza kuwekwa kwenye kundi la dharura ya kiafya kimataifa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad