AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wapiganaji wa Boko Haram Nchini Nigeria, wamevamia Kambi moja ya Kundi Hasimu linalojiita Dola ya Kiislamu la Afrika Magharibi (ISWAP) na kusababisha mapigano makali ya risasi ambayo yalisababisha vifo vingi.
Wapiganaji wa Boko Haram waliishambulia Kambi ya Kijiji cha Sunnawa katika Wilaya ya Abadam karibu na mpaka na Niger.
Mapigano makali ya kufyatuliana risasi kati ya makundi mawili hayo ya Kigaidi Kaskazini mashariki mwa Nigeria yamesababisha wapiganaji wengi kuuawa.
Wanamgambo wa Kundi la ISWAP awali waliwavamia Boko Haram katika eneo la Diffa huko Niger lilipoko jirani ya Nigeria ambako waliwateka nyara wanawake 13.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK