Mahakama ya Kisutu yafuta Kesi ya Umeya Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kwa gharama kesi ya Meya wa DSM, Isaya Mwita ya kutaka kusitisha mchakato wa kumuondoa Madarakani.

Hatua hiyo inatokana na Mwita kuwasilisha maombi ya kuifuta kesi hiyo kupitia Wakili wake Hekima Mwasipu mbele ya Hakimu Mkazi Janeth Mtega akidai anaona kesi hiyo haina maana kuwepo Mahakamani kwa sababu hatua za kumng'oa Madarakani zilishafanyika.

”Nakubaliana na maombi ya muombaji (Mwita) ya kuliondoa shauri hili, hivyo naliondoa kwa gharama maana tumepoteza muda, rasilimali na uandaaji wa majibu kuhusu shauri hilo, hesabu zitafanyika kujua gharama zikoje na atalipia" - Hakimu Mtega

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad