AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kwa gharama kesi ya Meya wa DSM, Isaya Mwita ya kutaka kusitisha mchakato wa kumuondoa Madarakani.
Hatua hiyo inatokana na Mwita kuwasilisha maombi ya kuifuta kesi hiyo kupitia Wakili wake Hekima Mwasipu mbele ya Hakimu Mkazi Janeth Mtega akidai anaona kesi hiyo haina maana kuwepo Mahakamani kwa sababu hatua za kumng'oa Madarakani zilishafanyika.
”Nakubaliana na maombi ya muombaji (Mwita) ya kuliondoa shauri hili, hivyo naliondoa kwa gharama maana tumepoteza muda, rasilimali na uandaaji wa majibu kuhusu shauri hilo, hesabu zitafanyika kujua gharama zikoje na atalipia" - Hakimu Mtega
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK