Mashambulizi ya Roketi yafanywa katika kambi ya jeshi ya Iraq Ambayo ni Makazi ya Wanajeshi wa Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la Iraq limesema karibu makombora sita yamerushwa katika kambi ya kijeshi ya Balad kaskazini mwa Mji Mkuu wa Baghdad leo na kuwajeruhi wanajeshi wanne wa Iraq. 

Kambi hiyo ambayo iko kilomita 80 kaskazini mwa mji huo mkuu ni makao ya majeshi ya Marekani pia ingawa kiasi kikubwa cha wanajeshi wa Marekani walikuwa washaondolewa na kupelekwa kwengine kutokana na mvutano unaozidi kati ya Marekani na Iran.

 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo amesema ameghadhabishwa na ripoti za mashambulizi hayo. 

Taarifa kutoka kwa jeshi la Iraq imesema roketi nane zimerushwa katika kambi hiyo ya kijeshi jana na kuangukia katika njia ya ndege na lango la kambi hiyo. 

Hakuna aliyekiri kuhusika na mashambulizi hayo kufikia sasa. Hakuna aliyeuwawa katika mashambulizi hayo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad