Penzi la Rihanna na Bilionea wa Kiarabu Lavunjika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Taarifa za watu wa karibu na msanii Rihanna zinaeleza kuwa penzi lake na bilionea wa kiarabu Hassan Jameel, limefikia ukomo baada ya kudumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu.

Kwa mujibu wa taarifa ya mitandao mbalimbali Duniani, Rihanna na Jameel walianza uhusiano wao wa kimapenzi mwaka 2017 lakini ulikuwa uhusiano wa faragha. Bado haijabainika wazi chanzo cha wawili hao wenye umri wa miaka 31 kuamua kutengana.

Jameels wanaorodheshwa wa 12 kama familia tajiri miongoni mwa Waarabu kulingana na jarida la Forbes.

Habari za wawili hao kuchumbiana ziligonga vichwa vya habari baada ya kupigwa picha wakifanya yao  katika kidimbwi cha kuogelea nchini Uhispania.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad