Tanzia: Baba wa Mabeste Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MSANII wa Bongo Flava, William Ngowi, maarufu kwa jina la ‘Mabeste‘ amepata pigo baada ya kuondokewa na baba yake mkubwa ambaye amefariki dunia Jumanne, Januari 12, 2020, mkoani Morogoro.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Mabeste amethibitisha na kuposti picha ya baba yake huyo enzi za uhai wake na kuandika R.I.P Baba.

Mwili wa mzee Ngowi umesafirishwa kwenda Moshi Kilimanjaro kwa maziko jana ambapo anatarajiwa kuzikwa leo Jumamosi, Januari 18, 2020.


Global Group tunapenda kutoa pole kwa Mabeste pamoja na familia yake kwa kumpoteza baba yao mzazi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe. Amen!
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad