Waliosajili Kwa Vitambulisho sio vyao Kuondolewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA),kwa kushirikiana na watoa huduma itafanya zoezi la kuhakiki laini zote na kuwaondoa wale waliosajili laini zao kwa kutumia vitambulisho vya watu wengine au kitambulisho tofauti, pamoja na kuwachukulia hatua za kisheria.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Mhandisi James Kilaba, imeeleza kuwa lengo la kufanya hivyo ni kutaka kujiridhisha kama waliosajili laini zao za simu wametumia vitambulisho sahihi.

Na kwamba TCRA wataendelea kutoa onyo kali kwa wale watakaotumia vitambulisho visivyowahusu wakati wa usajili wa laini zao.

Aidha kwa wale waliositishiwa huduma za laini zao, wanaweza kuendelea na utaratibu wa usajili kwa lengo la kurudisha laini zao zilizofungwa au kupata laini mpya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad